Na Victor Abuso, Wapinzani Nigeria na Cameroon wametenganishwa katika michuano ya hatua ya makundi kuwania kombe la Afrika kwa vijana wasiozidi miaka 17 itakayochezwa mwaka 2019 nchini Tanzania. Droo hiyo ilifanyika Alhamisi usiku jijini Dar es salaam, kuelekea michuano hiyo itakayochezwa mwezi Aprili. Timu nyingine iliyopangwa katika kundi hilo ni pamoja na wenyeji Tanzania na jirani zao Uganda, ambao watacheza katika michuano hii kwa mara ya kwanza pamoja na Angola. Cameroon ambao walishinda taji hili mwaka 2003, wamepangwa katika kundi moja na Guinea, Morocco na Senegal. Michuano hiyo itatumiwa pia kutafuta nchi tatu, zitakazoliwakilisha bara la Afrika katika fainali za kombe la dunia nchini Peru mwaka ujao. Kundi A – Tanzania, Nigeria, Angola, Uganda Kundi B – Cameroon, Guinea, Morocco, Senegal. |
Droo ya vijana yataolewa Dar es salaam
Droo ya vijana yataolewa Dar es salaam
More in
-
Nigeria Super Falcons break jinx and qualify for Paris 2024 Olympics
Nigeria Super Falcons have qualified for the 2024 Paris Olympic Games. Nigeria beat South...
-
Zambia Copper Queens qualify for 2024 Paris Olympics
The Zambia Women’s National Team, The Copper Queens have booked a place at the...
-
Cameroon sports Minister appoints Indomiable lions coach in Bizzare move
Cameroon Sports minister Narcisse Mouelle Kombi has appointed Belgian Marc Brys as the new...
-
Simba lose to Al Ahly at home in first leg Quarter-final
Tanzanian giants Simba SC suffered a devastating 1-0 defeat to record holders Al Ahly...