Connect with us

Nyota wa mchezo wa kandanda duniani, Diego Maradona amesema ataendelea  kumheshimu Lionel Messi licha ya matokeo mabaya ambayo Argentina inayapata katika fainali za Kombe la dunia.

Maradona amecheza fainali nne za Kombe la dunia kati ya mwaka 1982 na 1994.

Messi na wenzake leo wana kibarua kigumu watakapoumana na Nigeria katika mchezo muhimu utakaoamua mabingwa hao wa mwaka 1986 watasonga mbele au la.

“Nataka kumwambia Messi, yeye hana hatia yoyote.Hana hatia yoyote.Nakupenda na kukuheshimu mara zote,”amesema Maradona ambaye alicheza fainali nne za kombe la dunia.

Nigeria inahitaaji ushindi na huku ikiomba Iceland ishindwe kupata matokeo mazuri mbele ya Croatia.

 

African journalist with passion of football reporting.Also i love politics

More in