Na Mwandishi wetu akiwa Dar Es Salaam,
Baada ya kufanyika kwa vikao zaidi ya kimoja uongozi wa Simba SC umefikia uamuzi wa kuachana na koch wake mkuu Patrick Aussems.
Maamuzi ya Simba SC kuachana na kocha huyo yameshinikizwa na vitu viwili, kwanza kuondoka bila ruhusa kwa siki takribani mbili na kwenda nyumbani kwake Ufaransa.
Sababu ya pili iliyopelekea maamuzi hayo ni kutofikia kwa malengo ya klabu ya kucheza tena kwa hatua ya makundi ya Michuani ya Klabu Bingwa Afrika, hiyo ni baada ya kutolewa na UD Songo ya Msumbiji katika round ya awali.
Related TopicsCompetition
FIFA World Cup
Morocco pushing to have 2030 World Cup Final
CAF Champions League
Mouth-Watering clashes in CAF CL Quarter-Finals
CAF Champions League
CAF Announce Quarter-Final draw for CAF CL and CC
CAF Champions League
Simba qualify for CAF Champions League Quarter-finals
CAF Champions League
Mouth-Watering clashes in CAF CL Quarter-Finals
FIFA World Cup
Morocco pushing to have 2030 World Cup Final
Must See
-
AFRICA
/ 3 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 3 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...