Klabu ya Simba SC leo imemtambulisha rasmi beki Joash Onyango kutokea Gor Mahia kuwa imemsajili.
Imeripotiwa kuwa Joash ,27, ambaye anatajwa kuwa miongoni mwa mabeki bora waliowahi kuichezea timu ya taifa ya Kenya “Harambee Stars” na Gor Mahia kusaini mkataba wa miaka miwili na Simba.
Hata hivyo inaelezwa kuwa Joash ametua Simba kama mchezaji huru baada ya kuombwa kuachwa na klabu yake ya Gor Mahia ambayo kisheria ilivunja mkataba baada ya kushindwa kumlipa mishahara Mchezaji huyo.
Related Topics
FIFA World Cup
Morocco pushing to have 2030 World Cup Final
CAF Champions League
Mouth-Watering clashes in CAF CL Quarter-Finals
CAF Champions League
CAF Announce Quarter-Final draw for CAF CL and CC
CAF Champions League
Simba qualify for CAF Champions League Quarter-finals
CAF Champions League
Mouth-Watering clashes in CAF CL Quarter-Finals
FIFA World Cup
Morocco pushing to have 2030 World Cup Final
Must See
-
AFRICA
/ 3 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 3 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...