Connect with us

Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) itacheza na Zambia katika mchezo wa kufuzu fainali za Africa kwa Wanawake zitakazochezwa Ghana baadaye mwaka huu.

Twiga Stars inatakiwa kucheza mechi zote mbili kati ya April 2 na April 10,2018.

Mchezo huo ni wa raundi ya kwanza.

African journalist with passion of football reporting.Also i love politics

More in East Africa